❞ كتاب Ujumbe wa kweli wa Yesu Kristo ❝  ⏤ أبو أمينة بلال فيليبس

❞ كتاب Ujumbe wa kweli wa Yesu Kristo ❝ ⏤ أبو أمينة بلال فيليبس


esu Kristo anawakilisha akiwa ni kiungo cha kuunganisha baina ya
dini mbili zenye wafuasi wengi zaidi duniani leo hii; Ukristo na
Uislamu. Somo lifuatalo, linalohusu Ujumbe wa Yesu na Haiba yake
limeegemea katika kiungo hicho. Inatarajiwa kuwa, kwa kupitia somo
hili, wote wawili; Waislamu na Wakristo watafahamu vizuri ukuu wa
Yesu na umuhimu wa ujumbe wake.
Hata hivyo, ili tuutambulishe barabara ujumbe wa kweli wa Yesu
Kristo, mtazamo usio na upendeleo ulibidi udumishwe katika kipindi cha
kufanya uchunguzi wetu. Hisia zetu zisiruhusiwe kuweka kiwingu
kwenye uoni wetu na kwa hiyo, kutupofua tusiuone ukweli. Lazima
tuyatazame masuala mazima kimantiki na tuutenganishe ukweli uepukane
na uongo kwa msaada wa Mungu Mwenye nguvu.
Tukiangalia dini za uongo na imani mbalimbali za upotovu
duniani, na moyo wa kuzipenda unaowafanya wafuasi zake waziunge
mkono imani hizo, inaonesha ushahidi madhubuti kuwa watu hao
hawawezi kuugundua ukweli kwa sababu ya upofu wa misimamo yao juu
ya imani zao. Ufuasi wao king`ang`anizi, kwa kawaida hauegemei
ufahamu wa kiakili juu ya mafundisho, bali unategemea utamaduni
wenye nguvu na vishawishi vya kihisia. Kwa kuwa walilelewa katika
familia au jamii maalum, wao wanashikamana madhubuti na imani ya
jamii hizo, wakiamini kuwa, wanauunga mkono ukweli.
Njia pekee inayoweza kuufikia ukweli juu ya kitu chochote kile ni
kukijongelea kitu hicho kupitia mfumo maalamu na kwa kutumia akili.
Kwanza, tuupime ushahidi kisha tunauhukumu kwa akili alizotupa
Mungu. Katika ulimwengu wa maada, kimsingi ni akili ndizo
zinazowapambanua wanadamu na wanyama, akili ifanyayokazi vizuri
katika silika (maumbile) yake. Baada ya kuubainisha ukweli bila
kupendelea, hapo ndipo tujibebeshe majukumu ya ukweli huo kihisia.
Ndio, kuna nafasi ya kuwa na msimamo wa kihisia, lakini msimamo wa
kihisia lazima uje baada ya ufahamu wa kiakili juu ya kadhia husika,
kisha ndipo mtu ajiandae kiakili na kiroho kuutetea ukweli huo kwa
juhudi. أبو أمينة بلال فيليبس -
❰ له مجموعة من الإنجازات والمؤلفات أبرزها ❞ Ujumbe wa kweli wa Yesu Kristo ❝ ❞ THE QURAN S NUMERICAL MIRACLE HOAX OR HERESY ❝ ❞ Dini Ya Kweli Ya Mwenyezi Mungu ❝ ❞ The Fundamental Principles of Qur’aanic Interpretation ❝ ❞ Usool At Tafseer ❝ ❞ Islamic Studies Book 1 ❝ ❞ Die Kategorien des Islamischen Monotheismus Tauhid ❝ ❞ THE CHENNAI TREATISE ON ANNUAL PAYMENT OF ZAKAAH ❝ ❞ Fiqh of Fasting ❝ الناشرين : ❞ دار الإسلام للنشر والتوزيع ❝ ❞ مكتب الدعوة بالربوة ❝ ❞ دار نشر الاسلامية الدولية ❝ ❱
من مقارنة الأديان فرق ومذاهب وأفكار وردود - مكتبة المكتبة التجريبية.

نبذة عن الكتاب:
Ujumbe wa kweli wa Yesu Kristo


esu Kristo anawakilisha akiwa ni kiungo cha kuunganisha baina ya
dini mbili zenye wafuasi wengi zaidi duniani leo hii; Ukristo na
Uislamu. Somo lifuatalo, linalohusu Ujumbe wa Yesu na Haiba yake
limeegemea katika kiungo hicho. Inatarajiwa kuwa, kwa kupitia somo
hili, wote wawili; Waislamu na Wakristo watafahamu vizuri ukuu wa
Yesu na umuhimu wa ujumbe wake.
Hata hivyo, ili tuutambulishe barabara ujumbe wa kweli wa Yesu
Kristo, mtazamo usio na upendeleo ulibidi udumishwe katika kipindi cha
kufanya uchunguzi wetu. Hisia zetu zisiruhusiwe kuweka kiwingu
kwenye uoni wetu na kwa hiyo, kutupofua tusiuone ukweli. Lazima
tuyatazame masuala mazima kimantiki na tuutenganishe ukweli uepukane
na uongo kwa msaada wa Mungu Mwenye nguvu.
Tukiangalia dini za uongo na imani mbalimbali za upotovu
duniani, na moyo wa kuzipenda unaowafanya wafuasi zake waziunge
mkono imani hizo, inaonesha ushahidi madhubuti kuwa watu hao
hawawezi kuugundua ukweli kwa sababu ya upofu wa misimamo yao juu
ya imani zao. Ufuasi wao king`ang`anizi, kwa kawaida hauegemei
ufahamu wa kiakili juu ya mafundisho, bali unategemea utamaduni
wenye nguvu na vishawishi vya kihisia. Kwa kuwa walilelewa katika
familia au jamii maalum, wao wanashikamana madhubuti na imani ya
jamii hizo, wakiamini kuwa, wanauunga mkono ukweli.
Njia pekee inayoweza kuufikia ukweli juu ya kitu chochote kile ni
kukijongelea kitu hicho kupitia mfumo maalamu na kwa kutumia akili.
Kwanza, tuupime ushahidi kisha tunauhukumu kwa akili alizotupa
Mungu. Katika ulimwengu wa maada, kimsingi ni akili ndizo
zinazowapambanua wanadamu na wanyama, akili ifanyayokazi vizuri
katika silika (maumbile) yake. Baada ya kuubainisha ukweli bila
kupendelea, hapo ndipo tujibebeshe majukumu ya ukweli huo kihisia.
Ndio, kuna nafasi ya kuwa na msimamo wa kihisia, lakini msimamo wa
kihisia lazima uje baada ya ufahamu wa kiakili juu ya kadhia husika,
kisha ndipo mtu ajiandae kiakili na kiroho kuutetea ukweli huo kwa
juhudi.
.
المزيد..

تعليقات القرّاء:

 . Somo Ukurasa
Utangulizi ................................................................................................................. 5
Sura ya Kwanza: Maandiko Matakatifu........................................................................... 7
Miswada sahihi .......................................................................................................... 8
Matoleo ya Biblia ya Kingereza ..................................................................................... 9
Utunzi..................................................................................................................... 12
Torati ..................................................................................................................... 12
Kubuniwa................................................................................................................ 14
Injili ....................................................................................................................... 14
Kupingana............................................................................................................... 17
Agano la Kale .......................................................................................................... 17
Agano Jipya............................................................................................................. 19
خطأ! الإشارة المرجعية غير معرّفة.............................................................................Quran
Uhakiki wa Maandiko................................................................................................ 22
Kupingana katika Quran ............................................................................................ 23
Sura ya Pili: Yesu Mwanadamu ................................................................................... 27
Mtume .................................................................................................................... 27
Mtu ........................................................................................................................ 27
Dhana sahihi ........................................................................................................... 29
Miujiza ................................................................................................................... 30
“Ushahidi” wa Uungu wa Yesu ................................................................................... 32
1. Mwanzo na Mwisho ............................................................................................... 32
2. Maisha ya kabla ya Kristo....................................................................................... 32
3. Mwana wa Mungu ................................................................................................. 33
4. Pamoja na Mungu ................................................................................................. 36
5. Amekubali kusujudiwa............................................................................................ 37
6. "Hapo mwanzo kulikuwa na Neno" ........................................................................... 38
Mawazo ya kale........................................................................................................ 40
Mawazo ya kisasa ..................................................................................................... 43
Sura ya Tatu: Ujumbe................................................................................................ 45
Utiifu...................................................................................................................... 45
Taurati (Torati) ........................................................................................................ 45
Upwekesahaji........................................................................................................... 47
Mwislamu sio “Mmuhammadi” ................................................................................... 49
Masanamu............................................................................................................... 50
Utabiri.................................................................................................................... 51
Sura ya Nne: Njia ..................................................................................................... 54
Njia ya Yesu............................................................................................................. 55
Kutahiri .................................................................................................................. 55
Nguruwe ................................................................................................................. 56
Damu ..................................................................................................................... 57
Kilevi (pombe).......................................................................................................... 58
Udhu kabla ya Kusali ................................................................................................ 59
Kusujudi katika Sala.................................................................................................. 59
Hijabu .................................................................................................................... 60
Salamu.................................................................................................................... 61
Zaka....................................................................................................................... 62
Kufunga .................................................................................................................. 63
Riba ....................................................................................................................... 63
Mitala (wake wengi).................................................................................................. 64
Hitimisho ................................................................................................................ 66
Kurudi kwa Yesu....................................................................................................... 67
Bibliografia ............................................................................................................. 69


esu Kristo anawakilisha akiwa ni kiungo cha kuunganisha baina ya
dini mbili zenye wafuasi wengi zaidi duniani leo hii; Ukristo na
Uislamu. Somo lifuatalo, linalohusu Ujumbe wa Yesu na Haiba yake
limeegemea katika kiungo hicho. Inatarajiwa kuwa, kwa kupitia somo
hili, wote wawili; Waislamu na Wakristo watafahamu vizuri ukuu wa
Yesu na umuhimu wa ujumbe wake.
Hata hivyo, ili tuutambulishe barabara ujumbe wa kweli wa Yesu
Kristo, mtazamo usio na upendeleo ulibidi udumishwe katika kipindi cha
kufanya uchunguzi wetu. Hisia zetu zisiruhusiwe kuweka kiwingu
kwenye uoni wetu na kwa hiyo, kutupofua tusiuone ukweli. Lazima
tuyatazame masuala mazima kimantiki na tuutenganishe ukweli uepukane
na uongo kwa msaada wa Mungu Mwenye nguvu.
Tukiangalia dini za uongo na imani mbalimbali za upotovu
duniani, na moyo wa kuzipenda unaowafanya wafuasi zake waziunge
mkono imani hizo, inaonesha ushahidi madhubuti kuwa watu hao
hawawezi kuugundua ukweli kwa sababu ya upofu wa misimamo yao juu
ya imani zao. Ufuasi wao king`ang`anizi, kwa kawaida hauegemei
ufahamu wa kiakili juu ya mafundisho, bali unategemea utamaduni
wenye nguvu na vishawishi vya kihisia. Kwa kuwa walilelewa katika
familia au jamii maalum, wao wanashikamana madhubuti na imani ya
jamii hizo, wakiamini kuwa, wanauunga mkono ukweli.
Njia pekee inayoweza kuufikia ukweli juu ya kitu chochote kile ni
kukijongelea kitu hicho kupitia mfumo maalamu na kwa kutumia akili.
Kwanza, tuupime ushahidi kisha tunauhukumu kwa akili alizotupa
Mungu. Katika ulimwengu wa maada, kimsingi ni akili ndizo
zinazowapambanua wanadamu na wanyama, akili ifanyayokazi vizuri
katika silika (maumbile) yake. Baada ya kuubainisha ukweli bila
kupendelea, hapo ndipo tujibebeshe majukumu ya ukweli huo kihisia.
Ndio, kuna nafasi ya kuwa na msimamo wa kihisia, lakini msimamo wa
kihisia lazima uje baada ya ufahamu wa kiakili juu ya kadhia husika,
kisha ndipo mtu ajiandae kiakili na kiroho kuutetea ukweli huo kwa
juhudi.

 



حجم الكتاب عند التحميل : 468.3 كيلوبايت .
نوع الكتاب : pdf.
عداد القراءة: عدد قراءة Ujumbe wa kweli wa Yesu Kristo

اذا اعجبك الكتاب فضلاً اضغط على أعجبني
و يمكنك تحميله من هنا:

تحميل Ujumbe wa kweli wa Yesu Kristo
شكرًا لمساهمتكم

شكراً لمساهمتكم معنا في الإرتقاء بمستوى المكتبة ، يمكنكم االتبليغ عن اخطاء او سوء اختيار للكتب وتصنيفها ومحتواها ، أو كتاب يُمنع نشره ، او محمي بحقوق طبع ونشر ، فضلاً قم بالتبليغ عن الكتاب المُخالف:

برنامج تشغيل ملفات pdfقبل تحميل الكتاب ..
يجب ان يتوفر لديكم برنامج تشغيل وقراءة ملفات pdf
يمكن تحميلة من هنا 'http://get.adobe.com/reader/'

المؤلف:
أبو أمينة بلال فيليبس - Abu Ameenah Bilal Philips

كتب أبو أمينة بلال فيليبس ❰ له مجموعة من الإنجازات والمؤلفات أبرزها ❞ Ujumbe wa kweli wa Yesu Kristo ❝ ❞ THE QURAN S NUMERICAL MIRACLE HOAX OR HERESY ❝ ❞ Dini Ya Kweli Ya Mwenyezi Mungu ❝ ❞ The Fundamental Principles of Qur’aanic Interpretation ❝ ❞ Usool At Tafseer ❝ ❞ Islamic Studies Book 1 ❝ ❞ Die Kategorien des Islamischen Monotheismus Tauhid ❝ ❞ THE CHENNAI TREATISE ON ANNUAL PAYMENT OF ZAKAAH ❝ ❞ Fiqh of Fasting ❝ الناشرين : ❞ دار الإسلام للنشر والتوزيع ❝ ❞ مكتب الدعوة بالربوة ❝ ❞ دار نشر الاسلامية الدولية ❝ ❱. المزيد..

كتب أبو أمينة بلال فيليبس

كتب شبيهة بـ Ujumbe wa kweli wa Yesu Kristo:

قراءة و تحميل كتاب الاربعون نوويه Hadist Arba rsquo in Nawawiyah PDF

الاربعون نوويه Hadist Arba rsquo in Nawawiyah PDF

قراءة و تحميل كتاب الاربعون نوويه Hadist Arba rsquo in Nawawiyah PDF مجانا

قراءة و تحميل كتاب The Islamic Awakening: Important Guidelines PDF

The Islamic Awakening: Important Guidelines PDF

قراءة و تحميل كتاب The Islamic Awakening: Important Guidelines PDF مجانا

قراءة و تحميل كتاب Dawah To Christians PDF

Dawah To Christians PDF

قراءة و تحميل كتاب Dawah To Christians PDF مجانا

قراءة و تحميل كتاب Fata wa Về Nhịn Chay B ugrave PDF

Fata wa Về Nhịn Chay B ugrave PDF

قراءة و تحميل كتاب Fata wa Về Nhịn Chay B ugrave PDF مجانا

قراءة و تحميل كتاب Dawah Training Course PDF

Dawah Training Course PDF

قراءة و تحميل كتاب Dawah Training Course PDF مجانا

قراءة و تحميل كتاب Namna ya swala ya mtume saw na Namna ya kutawadha PDF

Namna ya swala ya mtume saw na Namna ya kutawadha PDF

قراءة و تحميل كتاب Namna ya swala ya mtume saw na Namna ya kutawadha PDF مجانا

قراءة و تحميل كتاب Ringkasan Sejarah Nabi Muhammad shalallahu rsquo alaihi wasallam PDF

Ringkasan Sejarah Nabi Muhammad shalallahu rsquo alaihi wasallam PDF

قراءة و تحميل كتاب Ringkasan Sejarah Nabi Muhammad shalallahu rsquo alaihi wasallam PDF مجانا

قراءة و تحميل كتاب Taqwa: The Provision of Believers PDF

Taqwa: The Provision of Believers PDF

قراءة و تحميل كتاب Taqwa: The Provision of Believers PDF مجانا